Wanafunzi 8 waangamia kwenye mkasa wa moto shuleni Moi Girls

Thanks! Share it with your friends!

You disliked this video. Thanks for the feedback!


Added by miamigo
171 Views
Wanafunzi wanane wa shule ya upili ya Moi Girls Nairobi wamefariki baada ya moto kuteketeza bweni lao usiku wa kuamkia leo. Moto huo ambao chanzo chake bado hakijabainika uliteketeza vibaya bweni la wanafunzi wa kidato cha kwanza. Shughuli za kubaini walioaga dunia sawa na kuchunguza tukio hilo zinaendelea.






Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.

This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.

Follow us:
http://citizentv.co.ke
https://twitter.com/citizentvkenya
https://www.facebook.com/Citizentvkenya
https://plus.google.com/+CitizenTVKenya
https://instagram.com/citizentvkenya
Category
Albufeira

Post your comment

Comments

Be the first to comment